20 Kwa maana kuna faida gani ikiwa mnavumilia mnapopigwa kwa kufanya dhambi?+ Lakini ikiwa mnavumilia mateso kwa sababu ya kufanya mema, jambo hilo linakubalika kwa Mungu.+
20 Kwa maana kuna sifa gani katika jambo ikiwa mnapofanya dhambi na kupigwa makofi, mnavumilia?+ Lakini ikiwa, mnapotenda mema na kuteseka,+ mnavumilia, jambo hilo ni lenye kukubalika kwa Mungu.+