21 Ubatizo, ambao unalingana na hili, unawaokoa ninyi sasa pia (si kwa kuondoa uchafu wa mwili, bali kwa ombi linalotolewa kwa Mungu ili kupata dhamiri njema),+ kupitia ufufuo wa Yesu Kristo.
21 Lile ambalo linalingana na hili linawaokoa ninyi sasa pia,+ yaani, ubatizo, (si kuondolea mbali uchafu wa mwili, bali ombi linalotolewa kwa Mungu ili kupata dhamiri njema,)+ kupitia ufufuo wa Yesu Kristo.+