18 Wao husema maneno ya kujigamba yasiyo na maana. Kwa kuvutia tamaa za mwili+ na kwa matendo ya upotovu wa maadili,* wanawashawishi watu waliotoka tu kuponyoka kutoka kwa watu wanaoishi katika kosa.+
18 Kwa maana wao husema maneno ya kujigamba yasiyo na faida, na kwa tamaa za mwili+ na tabia zenye upotovu wao hushawishi+ wale wanaotoka tu kuponyoka+ kutoka kwa watu ambao hujiendesha kwa njia ya makosa.