6 Sisi tunatokana na Mungu. Yeyote anayemjua Mungu hutusikiliza;+ yeyote ambaye hatokani na Mungu hatusikilizi.+ Hivi ndivyo tunavyolitofautisha neno la kweli lililoongozwa na roho na neno lenye kosa lililoongozwa na roho.+
6 Sisi tunatokana na Mungu.+ Yeye ambaye anamjua Mungu hutusikiliza;+ yeye ambaye hatokani na Mungu hatusikilizi.+ Hivi ndivyo tunavyojua neno la kweli lililoongozwa na roho na neno lenye kosa lililoongozwa na roho.+