10 Mtu anayemwamini Mwana wa Mungu, ana ushahidi ndani yake. Mtu asiyemwamini Mungu amemfanya yeye kuwa mwongo,+ kwa sababu hana imani katika ushahidi uliotolewa na Mungu kumhusu Mwana wake.
10 Mtu anayemwamini Mwana wa Mungu, ushahidi+ umetolewa kwa habari yake. Mtu asiye na imani katika Mungu amemfanya yeye kuwa mwongo,+ kwa sababu hakuwa na imani katika ushahidi uliotolewa,+ ambao Mungu akiwa shahidi+ ametoa kumhusu Mwana wake.