18 Tunajua kwamba kila mtu aliyezaliwa kutokana na Mungu hana mazoea ya kufanya dhambi, lakini yeye hulindwa na yule aliyezaliwa kutokana na Mungu,* na yule mwovu hawezi kumshika.*+
18 Tunajua kwamba kila mtu ambaye amezaliwa kutokana na Mungu+ hana mazoea ya kufanya dhambi, lakini yeye hulindwa na Yule+ ambaye amezaliwa kutokana na Mungu, na yule mwovu hamshiki imara.+