3 Na Yule aliyeketi alionekana kama jiwe la yaspi+ na jiwe jekundu lenye thamani, na kuzunguka kile kiti cha ufalme kulikuwa na upinde wa mvua ulioonekana kama zumaridi.+
3 Na yule aliyeketi, kuonekana kwake+ ni kama jiwe la yaspi+ na jiwe jekundu la thamani, na upinde wa mvua+ ambao kuonekana kwake ni kama zumaridi+ unakizunguka kile kiti cha ufalme.