2 Akalifungua shimo refu lisilo na mwisho,* na moshi ukapanda kutoka katika lile shimo kama moshi wa tanuru kubwa, na jua likatiwa giza,+ pia hewa, kwa moshi wa lile shimo.
2 Naye akalifungua shimo la abiso, na moshi+ ukapanda kutoka katika shimo lile kama moshi wa tanuru kubwa,+ na jua likatiwa giza,+ pia hewa, kwa moshi wa shimo lile.