7 Wale nzige walionekana kama farasi waliotayarishwa kwa ajili ya vita;+ na juu ya vichwa vyao kulikuwa na kitu kilichoonekana kama mataji ya dhahabu, na nyuso zao zilikuwa kama nyuso za wanadamu,
7 Na mfano wa nzige hao ulikuwa kama farasi+ waliotayarishwa kwa ajili ya pigano; na juu ya vichwa vyao kulikuwa na kitu kilichoonekana kama mataji yaliyo mfano wa dhahabu, na nyuso zao zilikuwa kama nyuso za wanaume,+