9 Nikaenda kwa yule malaika na kumwambia anipe kile kitabu kidogo cha kukunjwa. Akaniambia: “Kichukue ukile,+ nacho kitafanya tumbo lako liwe na uchungu, lakini kinywani mwako kitakuwa kitamu kama asali.”
9 Nami nikaenda zangu kwa yule malaika na kumwambia anipe kile kitabu kidogo cha kukunjwa. Naye akaniambia: “Kichukue, ukile,+ nacho kitalitia tumbo lako uchungu, lakini kinywani mwako kitakuwa kitamu kama asali.”