2 Lakini kuhusu ua ulio nje ya patakatifu pa hekalu, uache wala usiupime, kwa sababu umepewa mataifa, nao watalikanyaga lile jiji takatifu+ chini ya miguu yao kwa miezi 42.+
2 Lakini kwa habari ya ua ulio nje+ ya patakatifu pa hekalu, utupe nje kabisa wala usiupime, kwa sababu mataifa+ wamepewa huo, nao watalikanyagia chini ya miguu lile jiji takatifu+ kwa miezi 42.+