Ufunuo 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Malaika wa saba akamwaga bakuli lake juu ya hewa. Ndipo sauti kubwa ikatokea katika patakatifu+ kwenye kile kiti cha ufalme, ikisema: “Imetimia!” Ufunuo 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na yule wa saba akamwaga bakuli lake juu ya hewa.+ Ndipo sauti+ kubwa ikatokea katika patakatifu kutoka katika kile kiti cha ufalme, ikisema: “Imekuwa!” Ufunuo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 16:17 w09 2/15 3-4; re 233-234 Ufunuo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:17 Mnara wa Mlinzi,2/15/2009, kur. 3-4 Upeo wa Ufunuo, kur. 233-234
17 Malaika wa saba akamwaga bakuli lake juu ya hewa. Ndipo sauti kubwa ikatokea katika patakatifu+ kwenye kile kiti cha ufalme, ikisema: “Imetimia!”
17 Na yule wa saba akamwaga bakuli lake juu ya hewa.+ Ndipo sauti+ kubwa ikatokea katika patakatifu kutoka katika kile kiti cha ufalme, ikisema: “Imekuwa!”