10 Watasimama mbali kwa sababu ya kuogopa kuteseka kwake na kusema: ‘Ole, ole, wewe jiji kubwa,+ Babiloni wewe jiji lenye nguvu, kwa sababu hukumu yako imefika katika saa moja!’
10 huku wao wakisimama mbali kwa sababu ya woga wao wa kuteseka kwake na kusema,+ ‘Ole, ole, wewe jiji kubwa,+ Babiloni wewe jiji lenye nguvu, kwa sababu katika saa moja hukumu yako imefika!’+