13 pia mdalasini, viungo vya Kihindi, uvumba, mafuta yenye marashi, ubani, divai, mafuta ya zeituni, unga laini, ngano, ng’ombe, kondoo, farasi, magari, watumwa, na uhai wa binadamu.*
13 pia mdalasini na kiungo cha Kihindi na uvumba na mafuta yenye marashi na ubani na divai na mafuta ya zeituni na unga laini na ngano na ng’ombe na kondoo, na farasi na magari na watumwa na nafsi za binadamu.+