16 wakisema: ‘Ole, ole, lile jiji kubwa lililovaa kitani bora, zambarau, na kitambaa chekundu, na lililopambwa sana kwa mapambo ya dhahabu, mawe ya thamani, na lulu,+
16 wakisema, ‘Ole, ole—lile jiji kubwa,+ lililovikwa kitani bora na zambarau na kitambaa chekundu, na kupambwa kitajiri kwa mapambo ya dhahabu na mawe ya thamani na lulu,+