17 Na roho na bibi harusi+ huendelea kusema, “Njoo!” na yeyote anayesikia na aseme, “Njoo!” na yeyote aliye na kiu aje;+ yeyote anayetaka achukue maji ya uzima bure.+
17 Na roho+ na bibi-arusi+ huendelea kusema: “Njoo!” Na yeyote anayesikia na aseme: “Njoo!”+ Na yeyote anayeona kiu aje;+ yeyote anayetaka achukue maji ya uzima bure.+