Mwanzo 42:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lakini bwana huyo akatuambia, ‘Hivi ndivyo nitakavyojua kwamba ninyi ni wanyoofu: Mwacheni ndugu yenu mmoja abaki nami.+ Kisha chukueni chakula mwende mkapunguze makali ya njaa ya watu wa nyumbani mwenu.+
33 Lakini bwana huyo akatuambia, ‘Hivi ndivyo nitakavyojua kwamba ninyi ni wanyoofu: Mwacheni ndugu yenu mmoja abaki nami.+ Kisha chukueni chakula mwende mkapunguze makali ya njaa ya watu wa nyumbani mwenu.+