Mwanzo 43:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Basi wakampa Yosefu chakula chake na ndugu zake chakula chao, nao Wamisri waliokuwa pamoja naye wakala peke yao kwa sababu Wamisri hawangeweza kula pamoja na Waebrania, kwa sababu hilo ni jambo linalochukiza kwa Wamisri.+ Mwanzo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 43:32 w04 1/15 29 Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 43:32 Mnara wa Mlinzi,1/15/2004, uku. 29
32 Basi wakampa Yosefu chakula chake na ndugu zake chakula chao, nao Wamisri waliokuwa pamoja naye wakala peke yao kwa sababu Wamisri hawangeweza kula pamoja na Waebrania, kwa sababu hilo ni jambo linalochukiza kwa Wamisri.+