Mwanzo 47:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Basi Yosefu akaenda na kumwambia Farao:+ “Baba yangu na ndugu zangu wamekuja kutoka katika nchi ya Kanaani wakiwa na kondoo wao na ng’ombe wao na mali zao zote, wako katika nchi ya Gosheni.”+
47 Basi Yosefu akaenda na kumwambia Farao:+ “Baba yangu na ndugu zangu wamekuja kutoka katika nchi ya Kanaani wakiwa na kondoo wao na ng’ombe wao na mali zao zote, wako katika nchi ya Gosheni.”+