Mwanzo 47:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mtakapopata mavuno, mpeni Farao sehemu ya tano ya mavuno hayo,+ lakini sehemu nne zitakuwa zenu; zitakuwa mbegu za kupanda shambani na chakula chenu na cha watu wa nyumbani mwenu na cha watoto wenu.”
24 Mtakapopata mavuno, mpeni Farao sehemu ya tano ya mavuno hayo,+ lakini sehemu nne zitakuwa zenu; zitakuwa mbegu za kupanda shambani na chakula chenu na cha watu wa nyumbani mwenu na cha watoto wenu.”