Mwanzo 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndiyo sababu liliitwa Babeli,*+ kwa sababu huko ndiko Yehova alikovuruga lugha ya dunia yote, na kutoka huko Yehova aliwatawanya duniani pote.
9 Ndiyo sababu liliitwa Babeli,*+ kwa sababu huko ndiko Yehova alikovuruga lugha ya dunia yote, na kutoka huko Yehova aliwatawanya duniani pote.