Mwanzo 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana tutaliangamiza jiji hili, kwa sababu kilio dhidi ya wakaaji wake kwa kweli kimeongezeka sana* mbele za Yehova,+ hivi kwamba Yehova ametutuma tuliangamize jiji hili.”
13 Kwa maana tutaliangamiza jiji hili, kwa sababu kilio dhidi ya wakaaji wake kwa kweli kimeongezeka sana* mbele za Yehova,+ hivi kwamba Yehova ametutuma tuliangamize jiji hili.”