23 Basi sasa niapie hapa mbele za Mungu kwamba hutanitendea kwa udanganyifu mimi na watoto wangu na wazao wangu, na kwamba utanitendea kwa upendo mshikamanifu mimi na wakaaji wa nchi ambayo umekuwa ukiishi, kama nilivyokutendea kwa upendo mshikamanifu.”+