Mwanzo 27:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Esau akamwambia baba yake: “Baba, je, una baraka moja tu? Nibariki mimi, naam, mimi pia, baba yangu!” Ndipo Esau akalia kwa sauti kubwa na kububujikwa na machozi.+
38 Esau akamwambia baba yake: “Baba, je, una baraka moja tu? Nibariki mimi, naam, mimi pia, baba yangu!” Ndipo Esau akalia kwa sauti kubwa na kububujikwa na machozi.+