Kutoka 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini kama kawaida, wachungaji walikuja na kuwafukuza mabinti hao. Kwa hiyo Musa akainuka, akawasaidia* wanawake hao, na kuwanywesha kondoo wao.
17 Lakini kama kawaida, wachungaji walikuja na kuwafukuza mabinti hao. Kwa hiyo Musa akainuka, akawasaidia* wanawake hao, na kuwanywesha kondoo wao.