-
Kutoka 5:1Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Baadaye, Musa na Haruni wakaenda kwa Farao na kumwambia: “Hivi ndivyo anavyosema Yehova Mungu wa Israeli, ‘Waruhusu watu wangu waende ili wanifanyie sherehe nyikani.’”
-