Kutoka 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini bado mnapaswa kuwaamuru wafyatue idadi ileile ya matofali kama awali. Msiwapunguzie idadi, kwa sababu wanastarehe.* Ndiyo sababu wanalia, ‘Tunataka kwenda, tunataka kumtolea dhabihu Mungu wetu!’
8 Lakini bado mnapaswa kuwaamuru wafyatue idadi ileile ya matofali kama awali. Msiwapunguzie idadi, kwa sababu wanastarehe.* Ndiyo sababu wanalia, ‘Tunataka kwenda, tunataka kumtolea dhabihu Mungu wetu!’