3 Nao Mto Nile utajaa vyura, nao watatoka humo na kuingia ndani ya nyumba yako, ndani ya chumba chako cha kulala, kitandani mwako, katika nyumba za watumishi wako na juu ya watu wako, ndani ya majiko yenu, na ndani ya vyombo vyenu vya kukandia unga.+