Kutoka 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kisha Farao akamwita Musa na kumwambia: “Nendeni, mkamtumikie Yehova.+ Ni kondoo wenu na ng’ombe wenu tu watakaobaki. Hata watoto wenu wanaweza kwenda nanyi.”
24 Kisha Farao akamwita Musa na kumwambia: “Nendeni, mkamtumikie Yehova.+ Ni kondoo wenu na ng’ombe wenu tu watakaobaki. Hata watoto wenu wanaweza kwenda nanyi.”