Kutoka 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Walipopima kwa omeri, yule aliyekusanya zaidi hakuwa na ziada na yule aliyekusanya kidogo hakupungukiwa.+ Kila mmoja alikusanya kiasi alichoweza kula.
18 Walipopima kwa omeri, yule aliyekusanya zaidi hakuwa na ziada na yule aliyekusanya kidogo hakupungukiwa.+ Kila mmoja alikusanya kiasi alichoweza kula.