Kutoka 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Musa akamsimulia baba mkwe wake mambo yote ambayo Yehova alikuwa amemtendea Farao na Wamisri kwa ajili ya Waisraeli,+ matatizo yote waliyopata safarini,+ na jinsi Yehova alivyowaokoa.
8 Musa akamsimulia baba mkwe wake mambo yote ambayo Yehova alikuwa amemtendea Farao na Wamisri kwa ajili ya Waisraeli,+ matatizo yote waliyopata safarini,+ na jinsi Yehova alivyowaokoa.