Kutoka 19:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata hivyo, Yehova akamwambia: “Nenda, shuka chini, na urudi juu, wewe pamoja na Haruni, lakini usiwaruhusu makuhani na watu wavuke mpaka na kunikaribia mimi Yehova, ili nisiwaangamize.”+
24 Hata hivyo, Yehova akamwambia: “Nenda, shuka chini, na urudi juu, wewe pamoja na Haruni, lakini usiwaruhusu makuhani na watu wavuke mpaka na kunikaribia mimi Yehova, ili nisiwaangamize.”+