Kutoka 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ikiwa bwana wake hapendezwi naye na hataki awe suria wake, lakini aamue kumuuza kwa mtu mwingine,* bwana huyo hana haki ya kumuuza kwa wageni kwa sababu amemsaliti mtumwa huyo.
8 Ikiwa bwana wake hapendezwi naye na hataki awe suria wake, lakini aamue kumuuza kwa mtu mwingine,* bwana huyo hana haki ya kumuuza kwa wageni kwa sababu amemsaliti mtumwa huyo.