9 Katika visa vyote vya kumiliki vitu isivyo halali, iwe ni ng’ombe dume, punda, kondoo, nguo, au kitu chochote kilichopotea ambacho huenda mtu akasema, ‘Hiki ni changu!’ wote wawili wataleta kesi yao mbele za Mungu wa kweli.+ Yule ambaye Mungu atasema ana hatia atamlipa jirani yake mara mbili.+