Kutoka 29:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ikiwa nyama yoyote ya dhabihu ya kumweka rasmi kuhani na mkate wowote utabaki mpaka asubuhi, unapaswa kuteketeza kinachobaki.+ Hakipaswi kuliwa kwa sababu ni kitakatifu.
34 Ikiwa nyama yoyote ya dhabihu ya kumweka rasmi kuhani na mkate wowote utabaki mpaka asubuhi, unapaswa kuteketeza kinachobaki.+ Hakipaswi kuliwa kwa sababu ni kitakatifu.