Kutoka 30:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Unapaswa kuchukua kutoka kwa Waisraeli fedha za dhabihu ya kufunika dhambi na kuzitoa ili zitumiwe katika utumishi wa hema la mkutano, ziwe kumbukumbu mbele za Yehova kwa ajili ya Waisraeli, ili kufunika dhambi kwa ajili ya nafsi zenu.”*
16 Unapaswa kuchukua kutoka kwa Waisraeli fedha za dhabihu ya kufunika dhambi na kuzitoa ili zitumiwe katika utumishi wa hema la mkutano, ziwe kumbukumbu mbele za Yehova kwa ajili ya Waisraeli, ili kufunika dhambi kwa ajili ya nafsi zenu.”*