Kutoka 38:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata hivyo, upande wa magharibi ulikuwa na mapazia yanayoning’inia yenye urefu wa mikono 50. Pia ulikuwa na nguzo kumi na vikalio kumi, kulabu na vitanzi* vyake vilikuwa vya fedha.
12 Hata hivyo, upande wa magharibi ulikuwa na mapazia yanayoning’inia yenye urefu wa mikono 50. Pia ulikuwa na nguzo kumi na vikalio kumi, kulabu na vitanzi* vyake vilikuwa vya fedha.