Mambo ya Walawi 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi Musa akamwita Mishaeli na Elsafani, wana wa Uzieli,+ ndugu ya baba ya Haruni, akawaambia: “Njooni hapa, waondoeni ndugu zenu mbele ya mahali patakatifu muwapeleke nje ya kambi.”
4 Basi Musa akamwita Mishaeli na Elsafani, wana wa Uzieli,+ ndugu ya baba ya Haruni, akawaambia: “Njooni hapa, waondoeni ndugu zenu mbele ya mahali patakatifu muwapeleke nje ya kambi.”