Mambo ya Walawi 11:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “‘Mnyama yeyote mwenye kwato zilizopasuka lakini hazijagawanyika na ambaye hacheui si safi kwenu. Kila mtu anayewagusa wanyama hao hatakuwa safi.+
26 “‘Mnyama yeyote mwenye kwato zilizopasuka lakini hazijagawanyika na ambaye hacheui si safi kwenu. Kila mtu anayewagusa wanyama hao hatakuwa safi.+