- 
	                        
            
            Mambo ya Walawi 15:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
8 Mtu anayetokwa na umajimaji akimtemea mate mtu aliye safi, ni lazima mtu aliyetemewa mate ayafue mavazi yake na kuoga kwenye maji, naye hatakuwa safi mpaka jioni.
 
 -