Hesabu 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Waandikishe wana wa Lawi kila mmoja kulingana na ukoo wake* na familia yake. Unapaswa kumwandikisha kila mwanamume, kuanzia mtoto wa umri wa mwezi mmoja na zaidi.”+
15 “Waandikishe wana wa Lawi kila mmoja kulingana na ukoo wake* na familia yake. Unapaswa kumwandikisha kila mwanamume, kuanzia mtoto wa umri wa mwezi mmoja na zaidi.”+