Hesabu 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha wataweka juu yake vyombo vyake vyote wanavyotumia kuhudumu kwenye madhabahu: vyetezo, nyuma,* sepetu, na mabakuli, vyombo vyote vya madhabahu;+ watatandaza juu yake kifuniko cha ngozi ya sili na kuingiza fito za kuibeba.+
14 Kisha wataweka juu yake vyombo vyake vyote wanavyotumia kuhudumu kwenye madhabahu: vyetezo, nyuma,* sepetu, na mabakuli, vyombo vyote vya madhabahu;+ watatandaza juu yake kifuniko cha ngozi ya sili na kuingiza fito za kuibeba.+