Hesabu 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kisha atamtolea Yehova kondoo dume kwa ajili ya dhabihu ya ushirika pamoja na kikapu cha mikate isiyo na chachu, pia atatoa toleo la nafaka+ pamoja na toleo la kinywaji la dhabihu hiyo.
17 Kisha atamtolea Yehova kondoo dume kwa ajili ya dhabihu ya ushirika pamoja na kikapu cha mikate isiyo na chachu, pia atatoa toleo la nafaka+ pamoja na toleo la kinywaji la dhabihu hiyo.