Hesabu 7:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 na kwa ajili ya dhabihu ya ushirika+ alileta ng’ombe wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano, na wanakondoo dume watano kila mmoja wao akiwa na umri wa mwaka mmoja. Hayo ndiyo yaliyokuwa matoleo ya Eliabu+ mwana wa Heloni.
29 na kwa ajili ya dhabihu ya ushirika+ alileta ng’ombe wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano, na wanakondoo dume watano kila mmoja wao akiwa na umri wa mwaka mmoja. Hayo ndiyo yaliyokuwa matoleo ya Eliabu+ mwana wa Heloni.