Hesabu 7:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 na kwa ajili ya dhabihu ya ushirika+ alileta ng’ombe wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano, na wanakondoo dume watano kila mmoja wao akiwa na umri wa mwaka mmoja. Hayo ndiyo yaliyokuwa matoleo ya Eliasafu+ mwana wa Deueli.
47 na kwa ajili ya dhabihu ya ushirika+ alileta ng’ombe wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano, na wanakondoo dume watano kila mmoja wao akiwa na umri wa mwaka mmoja. Hayo ndiyo yaliyokuwa matoleo ya Eliasafu+ mwana wa Deueli.