88 na ng’ombe dume wote walioletwa kwa ajili ya dhabihu ya ushirika walikuwa 24, pia kondoo dume 60, mbuzi dume 60, na wanakondoo dume 60 kila mmoja akiwa na umri wa mwaka mmoja. Hayo ndiyo matoleo yaliyotolewa kwa ajili ya kuizindua+ madhabahu baada ya kuitia mafuta.+