-
Hesabu 16:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Kila mmoja wenu anapaswa kuchukua chetezo chake na kuweka uvumba juu yake, na kila mmoja atapeleka chetezo chake mbele za Yehova, vyetezo 250, pia wewe na Haruni mtapeleka kila mmoja chetezo chake.”
-