-
Hesabu 22:22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
22 Lakini Mungu akakasirika sana kwa sababu Balaamu alikuwa akienda, na malaika wa Yehova akasimama njiani ili kumzuia. Sasa Balaamu alikuwa amepanda juu ya punda wake, na watumishi wake wawili walikuwa pamoja naye.
-