Hesabu 26:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Hawa ndio waliokuwa wana wa Efraimu+ kulingana na koo zao: kutoka kwa Shuthela,+ ukoo wa Washuthela; kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri; kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani.
35 Hawa ndio waliokuwa wana wa Efraimu+ kulingana na koo zao: kutoka kwa Shuthela,+ ukoo wa Washuthela; kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri; kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani.