-
Hesabu 29:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Mtatoa vitu hivyo pamoja na dhabihu ya kuteketezwa ya kila mwezi na toleo lake la nafaka+ na dhabihu ya kuteketezwa inayotolewa kwa ukawaida pamoja na toleo lake la nafaka+ na matoleo yake ya kinywaji,+ mkifuata utaratibu wa kawaida wa kutoa dhabihu hizo, ili iwe dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza* Yehova.
-