- 
	                        
            
            Hesabu 29:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        6 Mtatoa vitu hivyo pamoja na dhabihu ya kuteketezwa ya kila mwezi na toleo lake la nafaka+ na dhabihu ya kuteketezwa inayotolewa kwa ukawaida pamoja na toleo lake la nafaka+ na matoleo yake ya kinywaji,+ mkifuata utaratibu wa kawaida wa kutoa dhabihu hizo, ili iwe dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza* Yehova. 
 
-